die

die

1 n 1 see dice. 2 (pl) (stamp, punch) chapa, kipande cha metali cha kupigia chapa sarafu, (nishani, karatasi n.k.).

die

2 vi 1 -fa, fariki; kata roho ~ of an illness -fa kwa maradhi ~ of laughter angua kicheko ~ by one's own hand jiua. 2 (phrases) ~ in one's bed kufa kwa uzee. ~ with one's boots on kufa ukiwa bado ukingali na nguvu, ukingali unapigana. ~ in the last ditch pigana kwa namna zote ili kutetea kitu/jambo fulani. ~ game kabili kifo kishujaa. ~ hard kufa tu baada ya mapambano makali. ~ in harness kufa ukiwa bado unafanya kazi. 3 be dying for something/to do something taka sana kitu. 4 acha kufahamika, potea his fame will never ~ sifa yake kubwa haitapotea. 5 ~- hard n mkaidi, asiyependa mabadiliko; asiyekubali kushindwa. 6 (used with adverbial particle) ~ away isha, poteza nguvu, fifia. ~ back (of plants) kauka hadi kwenye mizizi ambayo baadaye huchipua. ~ down (of fire in a fire place) fifia; (of excitement) pungua. ~ off kufa moja baada ya nyingine.~ out toweka kabisa, fikia mwisho.