comic

adj 1 -a kuchekesha, -chekeshaji; -a mzaha. 2 -a futuhi n 1 chale (katika sanaa za maonyesho/ muziki). 2 ~ book n gazeti lenye hadithi za katuni.comical adj -a kuchekesha; -a kimzaha. comically adv. coming adj see come -a kuja; -naokuja; baadaye. n 1 majilio the Second Coming Majilio ya Pili ya Yesu Kristo.