work

n 1 kazi. make hard ~ of sth fanya kitu kionekane kigumu kuliko kilivyo, taabika na. make short ~ of sth maliza (kazi) haraka. set/ get to ~ (on sth/to do sth) shika/anza kazi. set/go about one's ~ anza kufanya kazi, shughulikia. at ~ on (sth) -wa kazini. all in the day's ~ kawaida. 2 ajira, kazi ya kipato, kibarua. at ~ kazini. in/out of ~ enye/ sio na kazi. 3 shughuli (yoyote). 4 vifaa vya kazi. ~ bag/basket/box n begi n.k. la kuwekea vifaa vya kazi (hasa vya ushonaji). 5 kazi; zao; kipande, kila kilichozalishwa kwa kazi. 6 kazi za akili (k.m. kitabu, muziki n.k.). 7 (pl) mashine (sehemu inayofanya kazi). the ~s of a watch mashine ya saa. 8 (pl with sing or pl v) (jengo la) kiwanda. brick ~s n jengo la kiwanda; kiwanda cha matofali. ~s council/committee n baraza/ kamati ya pamoja ya waajiri na waajiriwa. 9 public ~s n ujenzi (wa barabara, madaraja n.k. na idara ya serikali). 10 (pl v) ngome. 11 (compounds) ~ bench n benchi la makanika. ~ book n kitabu cha mazoezi. work-day n siku ya kazi. ~ force n wafanyakazi wote (wa mahali/ taasisi fulani). workhouse n (GB hist) nyumba ya serikali kwa wasio na makazi; (US) jela ya wahalifu wenye makosa madogo ambapo wanafanyakazi. workman n 1 kibarua, mtendaji, mfanyakazi, fundi (wa kazi fulani), msanii. ~-manlike adj -stadi, -a ufundi. workmanship n ustadi; usanii. ~-room n chumba maalum cha kufanyia kazi. workshop n karakana; warsha. work-shy adj vivu, -zembe, goigoi. ~study n utafiti wa utendajikazi. ~ table n (esp) meza yenye saraka za kuwekea vifaa vya ushonaji vi,vt 1 fanya kazi. ~ in n mgomo wa kuendelea kufanya kazi (kupinga amri ya kufukuzwa n.k.). 2 (of a machine, apparatus, bodily organ, plan, method etc) fanya, tenda kazi iliyokusudiwa; fanikiwa. 3 fanyisha kazi, tendesha kazi. 4 faulu, fanikiwa. ~ one's passage pata nauli kutokana na kazi (kwenye chombo). ~ one's way (through college etc) fanya kazi ili ulipe gharama za kusoma chuo. ~ one's will (on sb) fanya mtu afanye utakavyo. ~ it (sl) fanya mpango. 5 shughulikia, hudumia; dhibiti. 6 sogea, penya, fikia; sogeza, penyeza, fikisha. 7 umba, unda/ finyanga. ~ clay finyanga udongo. ~ dough kanda unga. 8 umuka; vimba; chemka; shtukashtuka the yeast began to ~ unga ulianza kuumuka. 9 tarizi. 10 (special uses with adverbial particles and preps). ~ away (at sth) endelea kufanya/kuchapa kazi. ~ in;~ into world (sth) penya, ingia. ~ sth in/into ingiza, tia ~ a few jokes into your story ingiza/tia utani kidogo katika hadithi yako. ~ sth off ondoa, achana na; shughulikia. ~ on/upon sb/sth athiri, gusa; shughulikia. ~ out toa ufumbuzi/ jawabu; tokea; fanya mazoea. ~ out n (muda wa) mazoezi. ~ sth out kisia, toa hesabu; pata jawabu, unda, buni, panga, fumbua; (usu passive) maliza -ote, tumia -ote. ~ up to sth panda taratibu (hadi upeo), fanya kwa hatua, endeleza; sisimua, amsha, hamasisha. ~ sb/ oneself (into) pandisha (furaha, huzuni n.k), endelea, jazibisha. ~ upon sb/sth see ~ on. ~ able adj nayowezekana. worker n mfanyakazi. working n 1 machimbo (ya madini, mawe) n.k. 2 utendaji kazi. in ~ing order -enye kufanya kazi vizuri. (attrib) (in various senses of the v) ~ing clothes n nguo za kazi. ~ing breakfast/lunch/ dinner n kifunguakinywa/chakula cha mchana/jioni kinachoambatana na mazungumzo ya kikazi. ~ing capital mtaji. ~ing day n siku ya kazi; muda wa kazi (kwa siku moja). ~ing hypothesis n dhanio. ~ing knowledge n maarifa yanayotosheleza kusudio. ~ing out upangaji, makisio (ya matokeo ya kazi); utekelezaji. ~ing party n kamati teule (ya kazi/ shughuli fulani). ~ing part adj -enye kuchapa kazi a hard ~ing woman mwanamke mchapa kazi. the ~ing class n tabaka la wafanyakazi (za mikono/ sulubu).