withdraw

vt,vi 1 chukua. ~ sth/sb (from) toa; jitoa; ondoa/ondoka; chukua. 2 futa, tangua ~ a charge futa mashtaka, ondoa mashataka. 3 rudi nyuma; rudisha nyuma; (ji) tenga. withdrawal n kuondoa, kuondoka; kufuta, kuchukua. ~al symptoms n kujitenga; hali (ya kimaumbile/ kiakili) itokeayo kutokana na kuachishwa kitu ulichozoea (agh madawa ya kulevya) adj pweke, kimya, -liojitenga; -enye mawazo ya mbali.