wish

n 1 matakwa, mapenzi, matamanio. if ~s were horses, beggars might ride (prov) atakalo mtu hapati hupata ajaliwalo. the ~ is father to the thought (prov) tunaamini tunalotaka kuamini. 2 kitakiwacho, matilaba. wishful adj tamanifu, -enye kutaka. ~ ful thinking n ndoto za mchana. wishfully adv vt,vi 1 ~ (that) taka; penda; tamani. 2 ~ sb well/ill takia mema/mabaya. 3 taka she ~s to be alone anataka faragha I ~ you would be more careful tafadhali kuwa mwangalifu zaidi. 4 ~ for wa na hamu, tamani, ombea jambo. ~ bone n mfupa wa kuku ulioko kati ya shingo na kifua. ~ ing cap n (in fairy tales) kofia ya kuombea. 5 ~ sb/sth on sb (colloq) takia baa/balaa. wisher n mtakia bahati.