wing

n bawa, ubawa. clip the ~s of zuia. lend/add ~s to fanya kuchapuka. take (to itself) ~s potea, toweka. take sb under one's ~ linda, hami, engaenga. ~nut/screw n nati. ~span; ~-spread n kipimo cha ubawa toka ncha mpaka ncha. 2 (of building. army) upande, pembe; sehemu. 3 (mil) vikosi vya pembeni. 4 wakereketwa, wanazi; wenye msimamo mkali. 5 pembe za chaki. 6 on the ~ nayoruka/puruka. take ~ anza kuruka. 7 kitu kama ubawa. 8 (football, hockey) wingi. 9 (GB) vikosi viwili au zaidi vya jeshi la anga; (pl) beji ya rubani. ~ -commander n ofisa wa jeshi la anga. winged adj 1 -enye mabawa. wingless adj bila ubawa. winger n wingi.