whisper

vt,vi 1 ~ to nong'ona; nong'oneza. ~ing gallery n ukumbi wa kunong'ona. 2 vuma; vumisha, fanya nywinywila; eleza kwa siri/ faragha. ~ing campaign n kampeni za sirisiri za uvumi (dhidi ya mtu). 3 (of leaves) chachatika n 1 mnong'ono, manong'onezo. 2 uvumi. whisperer n mnong'onezaji; mnong'onaji; mvumishaji.