whirl

vt,vi 1 zunguka/zungusha kwa kasi. 2 pita/pitisha kwa kasi, vurumisha. 3 (of brain, the senses) zunguka/vurugika; (of thoughts) changanyikiwa n 1 (sing only) mzunguko wa kasi; (fig) kuchanganyikiwa. 2 harakati, michakato, vuguvugu la maisha. 3 (compounds) ~ pool n kizingia cha maji, mzunguko wa maji. ~ wind n kimbunga, kinyamkela, chamchela. sow the wind and reap the ~ wind (prov) panda upepo uvune tufani. whirligig n 1 pia. 2 mzunguko. the ~ igig of life mzunguko wa maisha.