weep

vt,vi (liter) 1 lia, toa machozi ~ for joy tokwa na machozi kwa furaha. 2 (drip) tona. 3 omboleza. weeping adj 1 -nayolialia. 2 (arch) -a mvua, majimaji; (of trees) -enye matawi membamba ya kuinama. weepy adj epesi kutoa machozi.