wear
wear
1 vt,vi 1 vaa; valia; paka ~ a hat vaa kofia ~ red lipstick paka rangi nyekundu. ~ the crown tawazwa ufalme, -wa mfalme; wa shahidi. 2 chakaa; chakaza; -la; lika. ~ away chakaa, potea. ~ sth away chakaza. ~ down konga, dhoofu, lika. ~ sth down chakaza. ~ sth/sb down dhoofisha kitu kwa kushambulia/ kusuta mara kwa mara. ~ off pita, pungua, isha. ~ sth off maliza (kidogo kidogo). ~ sth/sb out chosha. ~ (sth) out chakaza, chakaa. worn out chakavu. 3 toboa, tia alama, tengeneza. 4 stahimili, dumu. 5 ~ on/away (of time) potea, pita pole pole. wearer n mvaaji. wearable adj -a kuvalika, -a kufaa kuvaliwa. wearing adj (exhausting) -a kuchosha.wear
2 n 1 vazi, kuvaa. 2 uchakavu. ~ and tear uchakavu (kwa matumizi). 3 ustahamilivu. 4 (as in compounds) under ~ n chupi. footwear n viatu. wearily adv kwa taabu, kwa hali ya kuchoka. weariness n kuchoka, kuchosha. wearisome adj -a kuchosha, -a taabu, -sumbufu. weary adj 1 chofu. 2 choshi. 3 -a dalili ya kuchoka/uchovu vt,vi ~y sb (with wed sth); ~y of sth chosha/choka.