wave

vt,vi ~ (at/to/in) peperusha, peperuka; punga; tikisika. ~ sth aside (fig) tupilia mbali. 2 (of a line or surface, of hair) fanya mawimbi, mapindi n 1 wimbi. the ~s n (poet) bahari. in ~s kwa mawimbi. 2 mpepeo, mpungo, mtikisiko. 3 (of hair) msuko. 4 ongezeko a crime ~ ongezeko la uhalifu. 5 wimbi la joto, sauti, mwanga, sumaku. long/ medium/ short ~ (radio) n mawimbi ya sauti ya masafa marefu/ kati/mafupi. ~ length n masafa; urefu wa wimbi. wavy adj -enye mawimbi, -a kuinuka na kushuka, -enye mapindi a wavy line mstari mawimbi. ~er vi 1 yumbayumba, pepesuka, tetereka. 2 -wa na shaka, sitasita. waverer n.