want

want

1 vt,vi 1 taka, hitaji; (be without) kosa, -takiwa; -tafutwa. wanted adj, -a kutakiwa n (colloq) tangazo (gazetini) la kazi. 2 (desire) tamani, -wa na hamu, taka. 3 hitaji, paswa, dai. 4 (progressive tense only) be ~ing kosekana, wa pungufu. be ~ing (in sth) kosa/kosekana; pungua/ pungukiwa na. be found ~ing (with human subject) totosheleza, toridhisha. 5 (impers) pungua, baki it ~s one hour to the class imebaki saa moja kabla ya darasa. 6 wa katika dhiki. ~ for nothing jitosheleza kwa kila kitu. ~ ing (prep) bila; ikikosekana.

want

2 n 1 (lack) upungufu, ukosefu, uhaba. 2 (felt need) hitaji, haja; dhiki. 3 matamanio, uchu, matakwa.