wall

n ukuta, kiambaza. with one's back to the ~ kwa kubanwa sana; kwa kuzingirwa. be/go up the ~ (sl) hamaki, chukia; udhika sana. bang/run one's head against a (brick) ~ jaribu kufanya jambo ambalo wazi haliwezekani; piga ngumi ukutani. see through a brick ~ ona mambo yajayo, ona mbali. 2 (fig) kizuizi, (kitu kinachofanana na) ukuta. 3 upenuni, kando (chiefly fig) go to the ~ tupwa nje (katika mashindano), shindwa kabisa. push/drive sb to the ~ shinda.4 (compounds) ~ flower n aina ya maua ya bustani; mtu aliyekosa mwenzi katika dansi. ~ painting n picha ya ukutani. ~ paper n karatasi za rangi za kupamba ukutani vt 1 (usu pp) zungushia ukuta. 2 ~ sth up/ off ziba (kwa matofali n.k.).