wait

n 1 (kitendo cha) kungoja, kusubiri. 2 lie in ~ for; (less usu) lay ~ for vizia, jificha ili kushambulia. 3 (pl) the ~s n waimbaji wa nyimbo za Noeli waendao nyumba hadi nyumba vi,vt 1 ~ (for) ngoja, ngojea, subiri. keep sb ~ing ngojesha mtu. ~ up (for sb) kesha. No ~ing usingoje ~ and see ngoja uone this can ~ hii inaweza kusubiri. 2 ~ (for) ahirisha. 3 ~ on/upon sb tumikia, -wa kama mtumishi wa kutumwa. ~ on sb hand and foot kidhia haja zote, tumikia kwa kila hali; (colloq) (old use) tembelea, zuru. 4 ~ at/on hudumia mezani. 5 ~ing list n orodha ya wanaosubiri. ~ing-room n chumba cha wanaosubiri. ~ern. ~ress n mhudumu, mwandikaji.