verse

n 1 ushairi. 2 (of Bible/Koran) aya. 3 ubeti. give chapter and ~ for toa kumbukumbu halisi; tongoa mstari wa shairi. ~-reading n usomaji wa mashairi (beti na vipande). versification n 1 sanaa ya ushairi. 2 muundo wa shairi. versifier n mtunga mashairi (hasa ya ovyo). versify vt,vi tunga mashairi; geuza kuwa mashairi.