variant

n 1 tofauti. 2 kibadala adj -a tofauti, -ingineyo. variance n. at ~(with) kuhitilafiana, kutofautiana; (maths) achano. variation n 1 (kiwango cha) kubadilika; badiliko, mageuzo, tofauti. 2 (of music) lahani iliyorudiwa kwa utata zaidi. 3 mabadiliko ya mwili (yatokanayo na hali mpya). 4 (maths) muachano.