up

up

1 adv 1 juu. what's ~ (colloq) kuna nini, habari gani. ~ to you juu yako. ~ and about hapa na pale. 2 zaidi two degrees ~ nyuzi mbili zaidi. 3 hadi travel ~ to Dodoma safiri hadi Dodoma. 4 kabisa we are hard ~ tumeishiwa kabisa. 5 sana, kwa sauti/nguvu zaidi speak ~ sema sana. 6 ~ against something -enye kupambana/kukabiliwa na. be ~ before somebody shtakiwa. ~ and down mbele na nyuma, huku na huko; juu chini. ~s and downs (fig) majaliwa, pata potea, mema na mabaya. on the ~(and up) (colloq) inayoendelea/stawi. ~ for something -enye kushtakiwa kwa jambo; pendekezwa/fikiriwa kwa jambo. be well ~ in/on something -wa bingwa/mahiri wa jambo. ~ to something -enye mashughuli na; sawa sawa na. ~ to somebody ni juu ya mtu, wajibu. ~ and coming adj (of person) shababu, makini. -enye kupanda. vi,vt (hum or colloq) amka, ruka; (colloq) pandisha, ongeza.

up

2 pref (kuelekea) juu.