true

adj 1 kweli. come ~ tokea (kuwa) kweli. 2 ~ (to) amini, aminifu. ~ blue n,adj mwenye msimamo. ~ hearted adj aminifu. ~ love n mpenzi (wa dhati). 3 halali; halisi. 4 ~ to type -enyewe hasa, -enye kufuatana na aina/jinsi yake. 5 imara, -liofungwa kwa usahihi. 6 sawa, sahihi; halisi a ~ copy of document nakala halisi. n (only in) out of ~ siyo halisi/isiohalisi; siyo sahihi adv (with certain vv) kweli, kwelikweli, hakika. vt ~ something up fanya halisi; rekebisha, sawazisha. truism n kauli ya kweli/ya wazi mno (kiasi kwamba hakuna hata haja ya kuitoa). truly adv 1 kweli. 2 kwa hakika; kwa dhati. truth 1 ukweli. moment of truth kilele cha tatizo/majaribu; ufunuo. 2 (maneno ya) kweli. tell the truth sema kweli. to tell the truth (when making a confession) kusema kweli, kwa kweli. 3 imani. truthful adj 1 (of persons) kweli. 2 kweli. truthfully adv. truthfulness n ukweli.