trade
1 biashara. the ~ (colloq) watengenezaji na wauzaji wa bidhaa fulani; (fig) sifa bainifu. ~ name n jina la bidhaa. ~price n bei ya jumla. ~ (s) union n chama cha wafanyakazi. ~ unionism n mfumo wa vyama vya wafanyakazi. ~unionist n mwanachama wa chama cha wafanyakazi. ~wind n pepo kali zinazovuma daima dumu kuelekea ikweta zikitokea kusini mashariki na kaskazini mashariki. the T~s n pepo hizo. 2 kazi (agh. za ufundi), shughuli za uchumi. ~folk; ~ s people n wafanya-biashara; wachuuzi; wauza duka; ~s man n mwuza duka. vi,vt 1 ~ (in) (with) fanya biashara. trading estate n eneo la viwanda. trading stamp n kuponi za kupatia bidhaa au pesa. 2 ~ something for something badilishana; uza mali kwa mali. 3 ~ something in toa mali ya zamani kama sehemu ya manunuzi ya mali mpya. 4 ~on/upon tumia (kitu) vibaya kunufaika. 5 nunua; jinufaisha. trader n mfanyabiashara; mchuuzi. trading n biashara adj -a biashara.