thing

n 1 kitu. 2 (pl) vitu (vya mtu); vitu vijulikanavyo kutokana na muktadha. 3 njozi be seeing ~s pagawa, ona mambo, pata njozi. 4 suala. 5 hali, tukio ~s are getting worse hali inakuwa mbaya. for one ~ kwanza. taking one ~ with another kwa jumla/kuzingatia kila hali. 6 (used of person or animal expressing an emotion) poor ~ masikini! a silly ~ maskini ya mungu. 7 the ~ kinachofaa (kwa mazingira maalumu) say the right ~s sema yanayofaa quite the ~ naam, -a kisasa. 8 (phrases) the ~ suala ni, tatizo ni, la muhimu/ msingi ni. first ~ awali ya yote, kwanza. the general/common/usual ~ kawaida, uzoefu. a near ~ bahati, kuponea chupuchupu. an understood ~ kilicho muwafaka; do one's (own) ~ (colloq) fanya/upendavyo/ujuavyo/ uonavyo. have a~ about (colloq) penda/chukia sana. 9 (pl) mambo ~s Tanzanian mambo Kitanzania. 10 (leg) ~s personal/real mali ya mtu/ halisi. thingummy/thing (u) mabob/ thing(u) majig n (colloq) nanihino.