there

adv 1 (place, direction) pale/kule, hapo/huko she works ~ anafanya kazi pale. 2 (for emphasis) -le T ~ goes! Ileee! T~ they come! Walee. 3 (in argument etc) hapo, pale ~ you are wrong hapo umekosea. 4 (in phrases) over ~ kule. then and ~; ~and then palepale, hapohapo. 5 (colloq) you~! Wewe!. 6 (after prep and adv) in ~ mle under ~ hapo chini, chini pale. 7 (to introduce sentence) kuna, pana T ~'s a new teacher kuna mwalimu mpya. ~about(s) adv karibu, kama hivi, kitu kama hicho. thereafter adv (formal) baadaye, halafu, kuanzia/kutokea hapo. therefore adv kwa hiyo, kwa sababu hiyo. therein adv humo, mle. thereinafter adv -a (mahali) pale, -a hiyo. thereon adv juu yake. thereto adv pamoja na hayo, kuhusiana na hiyo/ile. thereunder adv chini ya. thereupon adv kwa sababu hii, kwa hiyo; pale, papo; kuhusu hiyo. therewithal adv (archaic) aidha, zaidi ya hayo.