that

adj,pron 1 (demonstrative) -le (yule, ile, n.k.). 2 (relative) -(huo, n.k.) I like ~ song napenda wimbo huo/ule adv (colloq) kiasi hicho/kile, hivi/hivyo its about ~ high ni refu hivi it isn't all ~ cold sio baridi kiasi hicho conj 1 (ya) kwamba, ya kuwa the problem is ~ he failed the exam tatizo ni kwamba alishindwa mtihani. 2 so ~; in order ~ ili. 3 (introducing clauses of result) (kiasi) kwamba he was so tired ~ he fell asleep in the bus alichoka kiasi kwamba alilala kwenye basi. 4 introducing clauses of condition) kama supposing ~he comes je akija/ kama akija on condition ~ ili mradi. 5 (rhet) (in exclamations) laiti oh ~ I could see her again laiti ningemwona; (rel pron) -e, -o, amba(ye, o, vyo, n.k.) the letter ~came barua iliyokuja the boy ~ ran away mvulana aliyekimbia/ mvulana ambaye alikimbia.