tender
tender
1 vt,vi 1 toa he ~ed his resignation alitoa hati/barua ya kuacha kazi, alijiuzulu. 2 ~ for zabuni, toa zabuni. n 1 zabuni. 2 legal ~ n pesa halali ya kulipia deni.tender
2 adj 1 (soft, delicate) -ororo, laini; -epesi kudhurika/kuharibika/ kuumia ~ subject (fig) suala nyeti of ~ age/years changa, -toto; siopevuka. tenderfoot n mgeni katika mazingira magumu. ~ -hearted adj -a huruma, -a upendo, -pole. 2 (of meat) laini. ~ loin n sarara. 3 -ema ~parents wazazi wema. tenderly adv. tenderness ntender
3 n 1 mtunzaji; mwangalizi, mlinzi. 2 melisaidizi. 3 behewa la mafuta na maji (nyuma ya gari moja).