tear
tear
1 vt vi 1 chana, pasua, rarua, tatua ~ a piece off kwangua, nyakua; (of meat with the teeth) ng'wafua. ~ off (skin) ambua; (clothes) vua upesi; (boughs) kwanyua, konyoa, kongonyoa. 2 (divide) tenga; vuruga; gawanya. ~ oneself away (from) acha, ondoka; jiondokea, achana na. 3 kanganya. torn between pata shida ya kuchagua kati ya mambo the country was torn by civil war nchi ilivurugwa kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe. 4 (move/go quickly) puruka, kurupuka. ~ away adj,n (colloq) mtu mwenye harara. 5 acha, zima, futa ~ in stripes chana ~ in pieces, chanachana, chambua; (of person chamba, onyesha udhaifu. n 1 mpasuo; mpasuko, mtatuko. 2 (split) ufa.tear
2 n chozi shed ~s; burst (break) into ~s bubujika/toa/toka machozi. in ~s -kilia. ~- drop n chozi. tear-gas n gesi/ moshi wa machozi. tearful adj -enye machozi, -a kulia. ~ fully adv. tearless adj pasipo machozi, kavu ~less eyes macho makavu.