tangle
tangle
1 n 1 mfungamano, msokotano (wa nyuzi, nywele, n.k.). 2 msongamano, mvurugano, mvurugiko, vurugu get into a ~ ingia utata. vt,vi 1 vuruga; vurugika; sokotana; songamana ~ hair nywele timtimu. 2 ~ with somebody (colloq) gombana na, zozana na; pigana na.tangle
2 n aina ya mwani.