swift

swift

1 adj -epesi, -a mbio, -a haraka, -a ghafula. swiftly adv upesi, hima, kwa haraka. swiftness n wepesi, mbio, kasi ~-flowing adj -a kutiririka/ kumiminika kwa kasi ~-footed -enye mbio, -a mbio, -a kasi. swift-handed adj -enye mikono myepesi; -a haraka (katika kazi za mikono).

swift

2 n mbayuwayu, barawai.