sum

n 1 (also ~total) jumla, majumlisho. 2 hesabu, fumbo la hesabu do a ~ in one's head fanya hesabu kichwani. 3 kiasi cha fedha pay a large ~ of money lipa kiasi kikubwa cha fedha, lipa fedha nyingi. 4 in ~ kwa kifupi, kwa maneno machache vt,vi ~ (somebody/something) up toa jumla ya; toa muhtasari; soma she ~med up his character at once alimsoma tabia yake mara moja. ~ming up n muhtasari/ mapitio ya jaji kuhusu ushahidi katika kesi. summary n muhtasari adj -a mara moja, -a papo hapo, bila kukawia; (of law) bila kufuata utaratibu, kienyeji. summarily adv. ~ marize vt fanya muhtasari, fupisha. summation n 1 kujumlisha;jumla. 2 muhtasari.