subject

adj. 1 -sio huru, liotawaliwa na serikali ya kigeni. 2 be ~ to paswa kutii. 3 ~ to -enye uelekeo wa, -enye kupatwa mara kwa mara na are you ~ to malaria unapatwa na malaria mara kwa mara? 4 ~ to (adj, adv) kwa kutegemea, kwa sharti ya this plan is ~t to approval mpango huu unategemea kukubaliwa kwake. ~ to contract (leg) kutegemea mkataba. ~ to prior sale kutegemea kutotokea kwa mshitiri mwingine kabla ya siku ya mauzo/mnada n 1 raia, mwananchi. Tanzanian ~ n raia wa Tanzania. 2 mada, suala, habari, mazungumzo. change the ~ badilisha mazungumzo. on the ~ of kuhusu. ~ matter n maudhui. 3 (at school) somo. 4 mhusika. 5 ~ for something sababu/ chanzo. 6 mtu (mwenye mwelekeo fulani agh. mbaya) an irritable ~ mtu mwenye hamaki. 7 (gram) kiima. 8 (mus) kiini vt 1 ~ to tawala. 2 athiri; toa; jitoa ~somebody to torture toa mhanga; tesa. subjection n 1 kugandamizwa. 2 kukomesha; kutawaliwa. subjective adj 1 (of ideas, feelings, etc.) -a nafsi, -a dhahania. 2 -a kiima. subjectivism n udhanifu, udhahania, unafsi. ~tively adv. subjectivist n mdhanifu, mdhahania. subjectivity n.