string

n 1 uzi; kamba; ugwe. 2 have two ~s to one's bow -wa na njia nyingine ya kutimiza lengo. the first/second ~ n tegemeo la kwanza/ pili (katika kufikia lengo). 3 uzi keep harping on one ~/on the same ~ endelea kuzungumzia au kuandika juu ya mada moja/ ileile, rudia yale yale. The ~s n vyombo vya muziki vyenye nyuzi/ waya n.k. ~ orchestra/band n bendi ya vinanda. stringed -a vinanda. 4 nyuzi zinazoendesha mwanasesere. have somebody on a ~tawala (mtu). pull the ~s dhibiti vitendo vya watu wengine (kana kwamba wao ni mwanasesere). pull ~ tumia mbinu. no ~s (attached); without ~ (colloq) bila masharti yoyote. 5 mtungo a ~ of beads n mtungo wa shanga. 6 ufumwele ~ bean n harage bichi. stringy adj -a nyuzinyuzi vt,vi 1 funga uzi/ugwe katika upinde/kinubi n.k. stringed instrument n ala ya muziki yenye nyuzi. 2 strung up (of a person, his senses) chachawika. highly strung adj -liochachawika sana. 3 tunga (shanga) katika uzi. 4 ~(up) funga/tunga/ tundika katika uzi. 5 ~ somebody along potosha mtu kwa makusudi, laghai. ~ along with somebody endeleza urafiki kukidhi haja pasipo na ahadi zozote. ~ out tanda/ sambaa; tupatupa, tandaza, sambaza. ~ somebody up (sl) nyonga mtu kwa kitanzi.