strike

vt vt 1 piga, gonga, bisha, chapa. ~ at the root of something kata mzizi wa (fitina n.k.), ondoa kiini cha (tatizo n.k.). ~ while the iron is hot (prov) samaki mkunje angali mbichi; tenda bila kuchelewa. a ~/striking force kikosi cha mashambulizi. within striking distance karibu vya kutosha kushambulia (kwa urahisi). ~ a blow piga dafurao. 2 washa/ choma. ~a light washa taa/kiberiti. 3 fikia, pata. ~ a balance afikiana, patana. ~ a bargain (with somebody) kubaliana na, barikiana. 5 (coin) piga chapa. 6 (sail) tua, shusha. ~ one's flag shusha bendera, salimu amri. ~ tents/camp vunja kambi. 7 (on rock) ingia/panda mwambani, kwama. 8 (discover) gundua. ~ oil gundua/pata mafuta; (fig) pata nyota ya jaha, tajirika. ~ it rich tajirika ghafla. 9 ~ (for/against) goma. 10 (effect) ingia moyoni, shtusha, choma, pata/toa picha; gonga he was struck by fever alipata homa. 11 (clock) gonga; toa gusia; ~ a note of onyesha dalili ya, toa ishara ya; gusia ~a note of warning toa tahadhari. 12 ~ (off/out) ondoka, enda, elekea. 13 fanya kuwa be struck dumb/blind kuwa bubu/ pofu, pigwa bumbuazi. 14 panda. ~ a cutting panda/ pandikiza kipande/ kitawi. ~ root ota, toa mizizi. 15 kaa, nega. ~ as pious kaa kisalihina. 16 ~ fear/terror/alarm into somebody jaza/tia hofu/homa/wahka. 17 (with adv. particles and prep) ~ somebody down angusha, bwaga; andama; (of disease) shambulia. ~ something off fyeka, chanja, kata; chapa. ~ something off (something) ondoa, futa. ~ on/upon something gundua, vumbua (kwa bahati). strikeout ogelea kwa nguvu (kwa mikono na miguu); tupa ngumi/ mikono; anza/fuata utaratibu mpya/wa pekee. ~ something out/through futa, kata. ~ (something) up anza, anzisha. ~ up something (with somebody) anza urafiki/uhusiano na n 1 ugomaji; mgomo. be/go/on ~; be /come/go out on ~ goma, anza mgomo. a general ~ n mgomo wa wafanyakazi wote. ~ bound adj lio athiriwa na mgomo; liofungwa/ simama kwa sababu ya mgomo. ~ breaker n mvunja mgomo mbadala wa mgomaji. ~ fund n mfuko wa mgomo. ~ leader n kiongozi wa mgomo. ~ pay n malipo ya mgomo. 2 (of oil etc) ugunduzi. lucky ~ n ugunduzi wa bahati; kupata bahati. 3 mashambulizi ya ghafla ya ndege. 4 pigo. striker n 1 mgomaji. 2 (football) mshambuliaji. striking adj 1 -a kuvutia. the effect was not striting matokeo hayakuvutia. 2 -enye kugonga (k.m. kwa saa n.k.). strikingly adv.