strand
strand
1 n 1 ncha, jino la kamba a rope of three ~s kamba ya meno matatu. 2 (fig) (in a story) tazamo, mwelekeo.strand
2 n (poet or rhet) pwani ya mchanga vt,vi 1 (of a ship) kwamisha, kwama. 2 be (left) ~d (of a person) kwama, -achwa katika shida be ~ed in a railway station kwama katika kituo cha reli.