strait

n 1 mlango bahari. 2 matatizo, shida, dhiki, mashaka, be in dire ~s pata mashaka, dhikika, kuwa shidani, taabika. 3 adj (old use) -embamba, -a mkazo. ~ jacket n jaketi (la mikono mirefu) la kufungia mikono ya wendawazimu; (fig) kizuizi cha maendeleo. strait-laced adj adilifu mno; -enye maadili finyu. straiten vt songa, kaza, dhikisha, taabisha. in ~ened circumstances katika dhiki/mwambo.