storm

n 1 dhoruba, tufani, mvua kubwa. a ~ in a teacup makelele/ wasiwasi wa bure; wasiwasi mkubwa kwa kitu/jambo dogo. storm-beaten adj -lioharibiwa kwa dhoruba. ~-bound adj -lioshindwa kuendelea na safari kutokana na dhoruba. ~- centre n kitovu cha dhoruba; (fig) kiini cha matatizo. ~-cloud n wingu zito (la mvua linaloashiria dhoruba). ~-cone/ signal n alama ya kuashiria dhoruba. ~-lantern n kandili, fanusi. ~-proof adj -siodhurika kwa dhoruba. storm-tossed adj -lioharibiwa/ -liopeperushwa kwa dhoruba. 2 mlipuko, hisia za ghafla. a ~ of cheering vifijo. bring a ~ about one's ears anzisha zahama, chokoza nyuki. 3 take by ~ vamia, teka/ twaa kwa nguvu. storm-trooper n kikosi cha mashambulizi makali vt,vi 1 ~(at) foka (kwa hamaki). 2 teka kwa kuvamia, ingia kwa nguvu. stormy adj 1 -a tufani/dhoruba, -a mvua kubwa a ~y wind tufani. 2 -a hasira/ghadhabu. ~ly adv.