stand

n 1 kusimama, kutuama be brought to a ~ still simamishwa. 2 make a ~ zatiti. 3 nafasi; msimamo. take one's ~ chukua/ tangaza msimamo. 4 kinara, kiweko, kimeza. 5 jukwaa. 6 kibanda. news ~ n kibanda cha magazeti. 7 kituo, stendi. 8 kigono, kambi, ago. one night ~ kujamiiana mara moja. 9 (US) kizimba take the ~ -wa kizimbani. 10 (of crops) a good ~of maize mazao mazuri ya mahindi. 11 (compounds) stand-pipe n bomba wima la maji. standpoint n msimamo, maoni, mtazamo, fikira. ~-still n kusimama, kutua vt,vi 1 ~ (up) simama, wa wima. 2 -wa na urefu wa he ~s five feet ana urefu wa futi tano. 3 tua, koma, tuama. 4 kaa, baki, dumu. ~ firm/fast baki pale pale; shikilia msimamo. ~ clear (of something) kaa mbali/pembeni the dishes ~ there vyombo hivyo vinakaa pale. 5 weka, simamisha ~ the ladder over there simamisha ngazi pale. 6 vumilia, himili, kubali, chukua he can't ~ him hawezi kumvumilia/ kumstahamilia. ~one's ground torudi nyuma; (fig) shikilia msimamo. ~ (one's) trial shitakiwa. 7 ~ somebody something hudumia; gharimia, kirimu will he ~ us wine atatukirimu kwa mvinyo? ~ treat gharimia viburudishi vya wengine. 8 (phrases) ~ a good/poor chance to win/lose -wa na nafasi nzuri/finyu ya kushinda/kushindwa. 9 (adv. particles and preps) ~ aside tojishughulisha; tojihusisha, kaa pembeni, sogea; jiuzulu, jitoa (katika orodha ya wagombeaji). ~ at fikia the children's fund ~ s at Shs. 10,000 mfuko wa watoto sasa umefikia shilingi 10,000/ ~ back rudi nyuma; -wa mbali na the house ~s back from the road nyumba iko mbali na barabara. ~ by -wa mtazamaji; tazama tu; (of troops etc) kaa tayari. ~ by somebody unga mtu mkono, tetea, kaa upande wa fulani. ~ by something timiza ahadi. standby n 1 kujizatiti, kujiandaa. 2 mtu/kitu cha kutegemewa/akiba a ~ by player mchezaji wa akiba. ~down toka kizimbani; (of a candidate) jitoa (katika uchaguzi, n.k.). ~ for something maanisha; unga mkono; tetea, gombea; (colloq) vumilia. ~ in (with somebody) shiriki katika kugharimia. ~ in (for somebody) shikilia nafasi ya mwingine. ~in n mshikilia nafasi ya mwingine. standoff kaa mbali; sogea nyuma. ~ off achisha mtu kazi kwa muda. stand-offish adj kimya; baridi na -a kujitenga. stand-offishly adv. stand-offishness n. ~ out tokeza. ~out a mile -wa dhahiri kabisa; endelea kupinga/ kukaidi. ~ over ahirishwa. ~ over somebody something simamia mtu/kitu, angalia kwa makini. ~ to (mil) -wa macho/tayari. stand-to n (mil) alama ya kuwa tayari. ~ -up adj (of collars) -enye kusimama; (of a meal) -a kuliwa wima; (of a fight) -kali sana, -a kipigo kikubwa. ~ somebody up (colloq) vunja miadi. ~up to something (of materials) dumu, stahimili, -wa na maisha marefu. ~ (well) with somebody elewana na.