split

vt,vi 1 ~ (into) pasua; pasuka; mamatua, (mamanua), chanja. 2 ~ (open) pasuka, chanika. 3 ~ (up) into gawa; gawanyika; (of couple) achana, tengana let's ~ (mod colloq) tuondoke. ~the difference afikiana (juu ya bei n.k.). ~ting headache kuwanga kwa kichwa. ~ hairs (in an argument) bishana juu ya tofauti ndogondogo. hair ~ting adj. ~mind/personality n akili/tabia iliyogawanyika. ~ peas njegere kavu zilizopasuliwa. ~ ring n kishika funguo. a ~ second n punde. ~ one's sides (with laughter) pasuka/ vunjika mbavu. side ~ ting adj. 4 ~ (on somebody) (sl) fichua; chongea; toboa siri n 1 mpasuko, ufa. 2 kugawanyika; mfarakano. 3 (colloq) nusu chupa ya soda.