snap

vt,vi 1 ~ (at) (something) ng'ata, ng'wafua, bana (kwa meno); (fig) chukua/kubali; nunua upesi. ~ something up nunua kwa hamu, nunuliwa upesi upesi. 2 data; fungika/fungua kwa kelele, sema/zungumza kwa sauti kali; katika the rope ~ped kamba ilikatika. ~ at somebody karipia mtu, sema mtu kwa hasira. ~ one's fingers at somebody/in somebody's face alika vidole mbele ya mtu mwingine kwa dharau. ~ somebody's nose/head off karipia; dakiza (mtu katika mazungumzo), rukia maneno. 3 piga picha. 4 (sl) ~ to it anza kuondoka, ondoka upesi. ~ out of it acha (tabia/hali fulani), zinduka n 1 mwaliko. 2 a cold ~ n kipindi cha ghafula cha baridi. 3 (colloq) nguvu, ari, bidii. 4 keki ndogondogo. 5 (usu in compounds) ~-fasteners n (also presstuds) vifungo/vishikizo vya kubana. 6 (attrib) -a ghafla, -a haraka a ~ election uchaguzi wa ghafla. ~-lock n kufuli lijifungalo kwa mwaliko. make it ~py! Look ~py (sl) changamka; harakisha, changamkia. 7 (compounds) ~ shot n picha iliyopigwa haraka (agh. na asiye fundi wa kupiga picha). snappy adj; snappish adj -a hamaki, -enye harara. snappishly adv. snappishness n.