sign

n 1 dalili, ishara ~s of suffering are to be seen on his face dalili za mateso zajionyesha usoni mwake there is no ~ of hakuna dalili ya. ~ and counter ~ maneno ya siri (ya kundi fulani); maneno ya ishara ya kutambulishana. 2 alama multiplication ~ alama ya kuzidisha. ~ post n kibao cha barabarani. 3 kionyo, dokezo, konyezo la (jicho/mkono); ishara make no ~ toonyesha ishara. ~ language n lugha ya bubu/kipofu ~ of the cross ishara ya msalaba. 4 ~ (board) n ubao (wenye picha/ jina/habari kibao. ~-painter n mchoraji/mwandikaji vibao. vt,vi 1 weka/tia sahihi/saini, tia mkono. ~ something away toa haki/mali kwa kutia sahihi ~ judgement weka sahihi katika hukumu ~ed, sealed and delivered imesainiwa, imepigwa muhuri na kuwasilishwa. signer n mweka saini. ~(somebody) in/out andikisha jina kama kumbukumbu ya kufika /kuondoka. signon (colloq) jiandikisha ustawi wa jamii (kwa mtu asiye na kazi). ~ somebody on/up andikisha, ajiri. ~ something over (to somebody) thibitisha mauzo kisheria. 2 ~/for somebody (to do something) ashiria. 3 ~ on/off (radio) anza/maliza. signal n 1 selo (ya meli, treni, garimoshi). 2 ishara, kichocheo, dalili, chanzo. 3 (of radio, T.V. etc) mawimbi. vi toa ishara, ashiria. signaller n mpelekaji/mpokeaji habari kwa ishara. ~al-box n selo. ~al-light n taa za selo, ishara. ~al man n kandawala, mtoa ishara. signatory n mweka sahihi (katika mkataba, makubaliano, mapatano) ~atory to a convention mweka sahihi katika mapatano. signature n 1 sahihi, saini. 2 key ~ature (mus) n alama ya kuonyesha (kubadilishwa kwa) ufunguo. 3 ~ ature tune n wimbo wa kipindi/idhaa.