sick

adj 1 (pred only) be ~ tapika. feel ~ sikia kichefuchefu/jelezi. air/car/sea ~ness n kigegezi. 2 -gonjwa, -uguzi she's been ~ for two days amekuwa mgonjwa kwa siku mbili. be off ~ (with something) tokuwepo kazini/shindwa kazi kutokana na ugonjwa. fall ~ ugua. go/report ~ (mil) enda kwa daktari (kwa matibabu). the ~ n (pl) wagonjwa. ~-bay n (Navy) zahanati ya melini, zahanati ya chuoni. ~ bed n kitanda cha mgonjwa. ~-berth n see ~-bay. ~-headache n kuumwa kichwa kutokana na nyongo nyingi. ~-leave n likizo ya ugonjwa he is on ~-leave ana likizo ya ugonjwa. sick-list n orodha ya wagonjwa. ~-parade n (mil) foleni ya wagonjwa. ~-pay n malipo ya mfanyakazi mgonjwa. ~-room n chumba cha wagonjwa. 3 ~ (and tired/to death) of (colloq) choshwa na kasirishwa na I am ~ and tired of her complaints nimechoshwa na malalamiko yake. 4 ~ at heart -enye majonzi makubwa. ~ at/about something (colloq) -enye kusikitishwa na, enye kujutia jambo fulani. 5 ~ for -enye kutamani/ kulilia/kukumbuka sana. 6 (sl) -enye mawazo machafu. vt ~ something up (colloq) tapika. sicken vt,vi 1 ~en (for something) -wa katitka hatua za mwanzo (za kuugua). 2 chusha, kirihi, kasirisha. 3 ~en at something/to see something chukizwa/kinaishwa/udhiwa kutokana na/kwa kuona jambo fulani. 4 ~of something choka, choshwa na, kifu na. sickening adj -a kukifu, -a kuchosha. sickeningly adv. sickish adj -a kuugua, kuuguza, gonjwagonjwa feel ~ish -a kutojisikia vizuri. sickly adj 1 -a kuugua mara kwa mara, -sio na afya nzuri. 2 dhaifu, legevu, -sio changamfu. 3 -enye kuchefua; -enye kukirihi. sickness n 1 ugonjwa; magonjwa. ~ness benefit n maslahi/ bima ya ugonjwa. 2 kichefuchefu; kutapika.