shadow

n 1 kivuli. coming events cast their ~s before them dalili ya mvua ni mawingu. be afraid of ones own ~ ogopa sana, -wa mwoga sana. 2 giza. 3 (illusion) ndoto; wazo, njozi. 4 utusiutusi. worn to a ~ amekonda sana. 5 mashaka, dalili there is not a ~ of doubt hakuna mashaka kabisa. 6 ingojeayo wakati wake ~ factory kiwanda kinachoweza kugeuzwa ili kutengeneza vifaa vya kivita inapobidi ~ cabinet baraza la mawaziri wa chama cha upinzani bungeni. 7 mwenzi. vt 1 tia kivuli (giza). 2 fuata kwa siri, vizia. ~-boxing n kufanya mazoezi kwa kumpiga ngumi mpinzani wa kufikirika/hewa. shadowy adj 1 -a kivuli, -a kinyenyezi; sioonekana vizuri. 2 (vague) -siyo kiini, si hakika, si dhahiri.