shade

n 1 kivuli. put somebody/ something in/into the ~ zima; zika, dunisha. 2 giza; utusitusi. (US) ~ tree n mti wa kuvuli. 3 mzimu, pepo the ~s makazi ya mizimu. 4 (kiasi cha) tofauti ndogo a ~ of difference tofauti ndogo a~of doubt mashaka kidogo a ~ of colour namna ya rangi. 6 (of lamp) chengeu. vt,vi 1 tia kivuli, tia giza. 2 kinga jua mwanga. 3 (of colour) tia kivuli (kwa penseli n.k.). ~ off (away) ingiana, oana; badilika taratibu, fifia. shaded adj 1 -liotiwa kivuli. 2 tiwa tabaka za rangi. shading n 1 kufanya kivuli. 2 utusitusi. 3 tofauti ndogo. shady adj 1 -a kivuli. 2 (of action/ conduct) -a hila; -si aminifu; -danganyifu; -erevu shady business biashara/ shughuli/ jambo la hila; (colloq) a shady person mtu laghai.