seize

vi,vt 1 kamata, twaa be ~d with patwa, shikwa na be ~d by a fit of rage patwa na hasira kali. 2 teka, nyang'anya, pokonya. 3 ~ on/upon elewa na kutumia ~ upon an idea fahamu vizuri wazo na kulitumia ipasavyo. 4 ~ (up) kwama, shikamana, goma. seizure n 1 kukamata; kukamatwa, ukamataji, utekaji. 2 shtuko la moyo; kifafa. kukwama, kugoma.