scratch

vt,vi 1 parura, kwaruza. ~ the surface (fig) lipua, babia, fanya bila makini. 2 ~ something out chora; kata, futa. ~ out futa. 3 piga makucha. 4 toa katika shindano. 5 kuna. ~ one's head kuna kichwa, onyesha kuchanganyikiwa. ~ my back and I'll ~ yours nipe nikupe ~ a hole fukua. 6 ~ something (out) fukua ~ out a hole fukua shimo. 7 andika kwa haraka, paraza/charaza. ~ pad n karatasi/bunda la kuandikia. 8 toa sauti ya mkwaruzo. 9 ~ about (for something); ~ something up tifua/chakura (katika kutafuta kitu). n 1 mtai, mchoro, mfuo; escape without ~ a okoka vuka salama. start from ~ anza upya; (fig) anza kwa shida; (fig) anza bila ya matayarisho. be/come/bring somebody up to ~ (fig) wa tayari/tayarisha (mtu) kufanya linalotarajiwa/takiwa covered with ~es liojaa mitai. a ~ of the, pen sahihi (mcharazo wa maneno machache). 2 mkuno. 3 mstari wa kuanzia (mbio). 4 (attrib)bila dosari/kizuizi adj ovyo; -a watu wowote; -a bahati; -a kuokoteza. ~ paper n karatasi ya mazoezi. ~ wig n wigi iliyofunika nusu ya kichwa. ~ -work n mchoro (kama pambo). scratchy adj 1 -enye sauti ya kukwaruza. 2 -a kuwasha. 3 -a kuchorwa, -liochorwa ovyo.