scrape

vt,vi 1 ~ something (from/off something); ~ something (away/off) paa, kwangua, komba, kwaruza. 2 ~ something (from/off something) chubua, umiza. ~ one's boots kwangua (taka) viatu. 3 ~ something (out) chimba, toa. 4 pita, pitisha, pangusa. ~ along (fig) ishi kwa shida. ~ through (something) shinda (kwa shida). bow and ~ (fig) toa heshima iliyozidiana, nyenyekea mno. ~ past ambaa. 5 ~ up an acquintance with lazimisha urafiki, jipendekeza, jidukiza kwa fulani. 6 ~ something/somebody together kusanya kwa shida, pata kwa nguvu, pambanya, dunduliza ~ the bow across the fiddle piga fidla. ~ a living tarazaki, hemea (kwa shida), okoteza. n 1 paruzo, mkwaruzo, mparuzo; kukwaruza. a ~ of pen mwandiko, mchubuko; (fig) shida, mashaka, mkasa, matata. be in a ~ -wa matatani, pata mkasa get out of a ~ ponea chupuchupu. 2 kisu; mbuzi; ukombo.