score

n 1 ishirini, korija, fungu la ishirini. 2 hesabu katika mabao (katika mchezo). pay/settle/wipe off old ~ (fig) lipiza kisasi. 3 mfuo, mchoro, mtai, chale. 4 karatasi za muziki (zinazoonyesha manoti, matumizi ya sauti na vyombo). 5 (sl) tamko/hoja ya ushindi katika majadiliano. 6 (sports) goli, bao, pointi. keep the ~ rekodi magoli. ~ board/book/card n ubao/kitabu/kadi ya kurekodia magoli. 7 sababu, ajili. on the ~ of minajili ya. on more ~s than one kwa sababu nyingi/zaidi ya moja. on that ~ kwa hoja/sababu hiyo. vt,vi 1 tia bao, funga, hesabu. ~ an advantage/a success shinda, bahatika. 2 andika sehemu za muziki/ sauti za wimbo. 3 chora, tia pengo, kata. ~ out futa. ~ under piga msitari chini ya (neno). 4 ~ off somebody (colloq) ~ a point against/off/over somebody shinda; dhalilisha/aibisha mtu. 5 ~ something up (against somebody) weka kama kumbukumbu/rekodi dhidi ya mtu. 6 ~ (up) weka rekodi. scorer n 1 mwandishi wa magoli/pointi (za mchezo). 2 mfungaji (magoli).