safe

safe

1 adj 1 ~ (from) -a salama, salama; -siodhuriwa au kuharibiwa. ~ and sound salama salimini travel at a ~ speed -enda kwa mwendo usio wa hatari. 2 -angalifu, -enye hadhari a ~ statesman mtawala mwadilifu. be on the ~ side chukua hadhari sana. 3 (certain) yakini, hakika, bila shaka, -sio na mashaka. ~ conduct n hati, cheti cha usalama; kibali (cha kusafiri/kupita). ~ guard n kinga; ulinzi. vt ~ guard (against) linda; hifadhi; kinga ~ guard oneself jilinda, jikinga. ~ -keeping n ulinzi. ~ seat n kiti cha uhakika. ~ sex n kujamiiana salama ambapo wahusika wanajikinga na baa la ukimwi na magonjwa ya ngono/zinaa. safely adv salama; kwa salama I'll see you ~ ly home nitakusindikiza (kwa usalama) nyumbani. ~ ness n.

safe

2 n 1 sefu. 2 kabati ya chakula. ~ deposit n nyumba ya sefu ya kuhifadhia vitu vya thamani.~ ty n usalama ~ ty first usalama kwanza ~ ty -belt n mkanda wa usalama. ~ ty curtain n pazia la usalama. ~ty-glass n kioo kisichopasuka vipande. ~ ty -lamp n kurunzi ya migodini, kurunzi. ~ ty-match n kiberiti. ~ ty-pin n pini. ~ ty-razor n wembe. ~ ty-valve n vali ya usalama. (fig) sit on the ~ ty-valve n fuata siasa ya ukandamizaji. n ~ty bolt/ catch/lock n kinga.