sack
sack
1 n gunia, mfuko. ~ race n mashindano ya kukimbia katika magunia. ~ cloth n nguo ya gunia. ~ cloth and ashes kujutia kosa, majuto; matanga, kilio; gauni fupi na pana.sack
2 n The ~amri ya kufukuza kazi. give somebody/get the ~ (colloq) fukuza mtu kazi, fukuza; fukuzwa kazi. vt fukuza kazi.sack
3 vt (of a victorius army) teka nyara, nyang'anya, pora. n the ~ kupora mali katika mji uliotekwa.sack
4 n (sl) kitanda hit the ~ (US) enda kulala.