rule

n 1 (regulation) amri, kanuni, sharti; desturi, mila. by/according to ~ kwa mujibu wa kanuni/sheria. work to ~ timiza mradi, -wa na mgomo baridi (kwa kufuata sana sheria kwa makusudi) kwa kiasi cha kurudisha nyuma uzalishaji (mali). 2 desturi. as a ~ kwa kawaida/desturi. 3 utawala; mamlaka; dola; serikali. ~ of law n utawala wa sheria. 4 (for measuring). rula vt,vi 1 ~ (over) tawala; -wa na mamlaka. 2 (usu passive) (control) ongoza, athiri, tawala. 3 (order) amuru. 4 (decide) amua. ~ something out futilia mbali. 5 piga mstari. ~d paper n karatasi ya mistari mifuo. ~ something off kata, ondoa. ruler n 1 mtawala, mfalme, mkuu. absolute ~r n dikteta, mtawala mmoja. 2 (for measuring) rula, chenezo, kigezo, futi. ruling adj -a kutawala, -a nguvu; -liopo. n amri; hukumu; uamuzi.