rub

vt,vi 1 chua; fikicha ~ hands together fikicha viganja ~ the ears of wheat fikicha ngano; ~ shoulders with (fig) changamana na watu wa aina mbalimbali. 2 sugua. 3 (with adverbial particles and prep) ~ along ishi. ~ along (with somebody/together) ishi vizuri (pamoja), elewana. ~ somebody/ oneself/a horse down sugua vizuri na kwa nguvu (k.m. kwa taulo ili kukausha na kusafisha). ~ something down sugua. ~ something in; ~ something into something chua; sisitizia, tia mkazo. ~ it in kumbusha kila wakati. ~ something off/out ondoa kwa kufuta. ~ somebody out (US sl) ua. ~ something up piga polishi, ng'arisha; fanya kiwe kipya. ~ somebody up the wrong way udhi mtu. n 1 usuguaji, (muda wa) kusugua. 2 (esp in the phrase) (there's the ~) tatizo, mahali ambapo ugumu unaanza kutokea. rubbing n picha ya kusuguliwa.