represent

vt 1 ~ something (to somebody). 2 leta, toa, sawiri (picha, dalili) mfano wa a picture that ~s the garden of Eden picha iletayo mfano wa bustani ya Aden. 3 wakilisha; eleza. 4 fanya au sema kwa niaba ya. 5 igiza; iga. representation n 1 picha, sanamu, mfano, taswira. 2 kuonyesha; onyesho. 3 uwakili; uwakilishi. proportional ~ ation idadi fulani ya viti katika bunge kulingana na idadi ya kura ambazo chama kimepata. 4 (statement) maelezo (ya malalamiko) false ation ghiliba. representative adj. ~ative of - wakilishi, -a uwakilishi, -a ujumbe ~ ative government serikali ya uwakilishi ~ ative action madai ya jumla. ative n 1 mfano. 2 mwakilishi legal ~. ~ative mwakilishi wa kisheria permanent ~ative mwakilishi wa kudumu.