refuse
refuse
1 vt,vi kataa; katalia, nyima; gahamu, iza I was ~d entry nilikataliwa kuingia the child is refusing to eat today leo mtoto anakataa kula. refusal n 1 kitendo cha kukataa. 2 (the) refusal n (with definite article) haki/upendeleo wa kukubali au kukataa if ever you decide to publish your manuscript please give me the first refusal of it ukiamua kuchapisha muswada wako tafadhali nipe mimi fursa ya kwanza ya kufikiria kuuchapisha.refuse
2 n takataka. ~ dump/heap n jalala, jaa (la takataka).